Wikiendi hii imekuwa ni ya nenda kwa usalama katika mitandao ya kijamii kutokana na habari kubwa kabisa ya mh rais kuteuwa viongozi mbalimbali wapya huku habari kubwa ya mastaa ikiwa ni kutokana na mwanadada jkate mwegelo kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya.
Watu wengi wamefuraha hasa kutokana na uachapakazi wa mwanadada jokate, alkini pia kutona ana moyo wake wa kujitoa na kusaidia wengine.
Lakini wengi wamekuwa wakitoa mapovu kwa mwanadada Wema Sepetu huku wakisema kuwa inawezekana kabisa kuwa nafasi hii kubwa aliyopewa jokate hata yeye alipaswa kuwa nayo kutokana na ukweli kuwa hata yeye amekuwa katika siaisa miaka mingi .
Swala linalowafanya wamtukane na kumtolea mapovu ni kutokana ana tabia ya Wema ya kushindwa kujiheshimu , na kutokuwa na siri kwa kila kitu.amekuwa akijiingiza katika mambo ya hovyo yanayomuondolea sifa za kuwa na wadhifa mzuri.hizi n baadhi ya comment za mashabiki
About Me
Popular Posts
-
Msanii wa Bongo movie na mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto ameweka wazi kuwa hana kinyongo na kutoa ba...
-
Leo June 19, 2018 Mbunge wa Rufiji (CCM), Mohamed Mchengerwa amemtabiria Naibu Waziri wa Kilimo Dr. Mary Mwanjelwa kuchukua jimbo l...
-
Leo June 20, 2018 nakusogezea stori kumhusu Mwanafunzi mmoja nchini Kenya ambaye ameongezeka katika list ya wavumbuzi wa magari ya nisha...
-
SERIKALI imepeleka sh. bilioni 2.6 katika Jiji la Mwanza kwa ajili ya kugharamia uboreshaji wa vituo vya afya ili kuimaris...
-
Wikiendi hii imekuwa ni ya nenda kwa usalama katika mitandao ya kijamii kutokana na habari kubwa kabisa ya mh rais kuteuwa viongozi mbalim...
-
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo Alhamisi Juni 7, 2018 inakutana na bodi na menejimenti ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ku...
-
Mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athumani alimaarufu kama 'Mzee Majuto' amefunguka na kuweka wazi ugonjwa ambao unamsumbua kw...
-
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani JESHI la polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu nane wanaosadikiwa kuwa majambazi kwa tuhuma za kuhusika na t...


No comments:
Post a Comment